Mistari ya Biblia kuhusu Forgetting God: Trials should not lead to
Mistari kuhusu Trials should not lead to
Hayo yote yametutokea, ingawa tulikuwa hatujakusahau wala hatujaenda kinyume na agano lako.
Mioyo yetu ilikuwa haijarudi nyuma; nyayo zetu zilikuwa hazijaiacha njia yako.
Lakini ulituponda na kutufanya makao ya mbweha, na ukatufunika kwa giza nene.
Kama tungalikuwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kunyooshea mikono yetu kwa mungu mgeni,