Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Eshcol: 2. A valley or brook near Hebron

2 mistari · 2 vipengele

Mistari kuhusu 2. A valley or brook near Hebron

  1. Walipofika katika Bonde la Eshkoli, walivunja tawi lililokuwa na kishada kimoja cha zabibu. Wawili wao wakalichukua lile tawi kwenye mti, pamoja na komamanga na tini.

  2. Eneo lile likaitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya kile kishada cha zabibu ambacho Waisraeli walikikata huko.