Mistari ya Biblia kuhusu Eagle: Nest of
Mistari kuhusu Nest of
Je, tai hupaa juu kwa amri yako na kujenga kiota chake mahali pa juu?
Huishi juu ya miamba mirefu na kukaa huko usiku; majabali yenye ncha kali ndiyo ngome yake.
Kutoka huko hutafuta chakula chake; macho yake hukiona kutoka mbali.
Makinda yake hujilisha damu, na pale palipo na machinjo, ndipo yeye alipo.”