Mistari ya Biblia kuhusu Compared To Saints: Gold
Mistari kuhusu Gold
Lakini anaijua njia niiendeayo; akiisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu.
Wana wa Sayuni wenye thamani, ambao mwanzo uzito wa thamani yao ulikuwa wa dhahabu, sasa wanaangaliwa kama vyungu vya udongo, kazi ya mikono ya mfinyanzi!