Mistari ya Biblia kuhusu Caleb: Leader of the Israelites after Joshua's death
Mistari kuhusu Leader of the Israelites after Joshua's death
Kutoka huko wakasonga mbele kukabiliana na watu walioishi Debiri (ambao hapo kwanza uliitwa Kiriath-Seferi.)
Kalebu akasema, “Nitamwoza binti yangu Aksa kwa mtu atakayeweza kupigana na kuteka Kiriath-Seferi.”