Mistari ya Biblia kuhusu Bethany: Jesus sojourns at
Mistari kuhusu Jesus sojourns at
Yesu akaingia Yerusalemu na kwenda Hekaluni. Akaangalia kila kitu kilichokuwamo, lakini kwa kuwa ilishakuwa jioni, akaenda zake Bethania pamoja na wale kumi na wawili.
Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na njaa.