Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Bethany: Jesus sojourns at

2 mistari · 5 vipengele

Mistari kuhusu Jesus sojourns at

  1. Yesu akaingia Yerusalemu na kwenda Hekaluni. Akaangalia kila kitu kilichokuwamo, lakini kwa kuwa ilishakuwa jioni, akaenda zake Bethania pamoja na wale kumi na wawili.

  2. Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na njaa.