Skip to content

Simon

2 mistari

Mistari inayomtaja Simon

  1. Yesu alikuwa Bethania nyumbani mwa Simoni aliyekuwa na ukoma,

  2. Yesu alikuwa Bethania nyumbani kwa Simoni aliyekuwa na ukoma. Wakati alipokuwa ameketi mezani akila chakula cha jioni, mwanamke mmoja aliingia akiwa na chupa ya marhamu yenye manukato ya nardo safi ya thamani kubwa. Akaivunja hiyo chupa, akamiminia hayo manukato kichwani mwa Yesu.