Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Antediluvians: Occupations of

5 mistari · 7 vipengele

Mistari kuhusu Occupations of

  1. Baadaye akamzaa Abeli ndugu yake. Basi Abeli akawa mfugaji, na Kaini akawa mkulima.

  2. Baada ya muda Kaini akaleta baadhi ya mazao ya shamba kama sadaka kwa Bwana.

  3. Ada akamzaa Yabali ambaye ni baba wa wale walioishi katika mahema na kufuga wanyama.

  4. Kaka yake aliitwa Yubali, aliyekuwa baba wa wote wapigao zeze na filimbi.

  5. Pia Sila alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Tubali-Kaini ambaye alifua vifaa vya aina mbalimbali vya shaba na chuma. Naama alikuwa dada wa Tubali-Kaini.