Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Ancient Samaria: The prophet Elisha dwelt in

3 mistari · 29 vipengele

Mistari kuhusu The prophet Elisha dwelt in

  1. Naye akaondoka huko, akaenda Mlima Karmeli, na kutoka huko akarudi Samaria.

  2. Akamwambia bibi yake, “Kama bwana wangu angelimwona nabii aliyeko Samaria! Angemponya ukoma wake.”

  3. Wakati huu, Elisha alikuwa ameketi ndani ya nyumba yake, akiwa pamoja na wazee. Mfalme akatuma mjumbe kumtangulia, lakini kabla hajafika, Elisha akawaambia wale wazee, “Hammwoni huyu muuaji jinsi anavyotuma mtu kukata kichwa changu? Tazama, wakati mjumbe huyo atakapofika, fungeni mlango na mzuieni asiingie. Je, vishindo vya nyayo za bwana wake haviko nyuma yake?”