Mistari ya Biblia kuhusu Akan
Mistari muhimu ya Biblia
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
(Waisraeli walisafiri kutoka visima vya Yaakani hadi Mosera. Huko Aroni alifariki na kuzikwa, naye Eleazari mwanawe akachukua nafasi yake kama kuhani.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.