Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Ahiman: 1. A giant of Hebron

2 mistari · 2 vipengele

Mistari kuhusu 1. A giant of Hebron

  1. Wakapanda kupitia Negebu hadi wakafika Hebroni, mahali ambapo Ahimani, Sheshai na Talmai, wazao wa Anaki, waliishi. (Hebroni ulikuwa umejengwa miaka saba kabla ya mji wa Soani ulioko Misri.)

  2. Kutoka Hebroni Kalebu alifukuza hao wana watatu wa Anaki, nao ni Sheshai, Ahimani na Talmai, wazao wa Anaki.