Mistari ya Biblia kuhusu Abia: 1. Called Abijah, chief of the twenty-four courses of priests
Mistari kuhusu 1. Called Abijah, chief of the twenty-four courses of priests
ya saba Hakosi, ya nane Abiya,
Ido, Ginethoni, Abiya,
Wakati wa Herode mfalme wa Uyahudi, palikuwa na kuhani mmoja jina lake Zekaria, ambaye alikuwa wa ukoo wa kikuhani wa Abiya. Elizabeti mkewe alikuwa pia mzao wa Aroni.