Skip to content

Etham

4 verses

30.4600, 32.2800 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Etham

  1. Baada ya Waisraeli kuondoka Sukothi wakapiga kambi huko Ethamu pembeni mwa jangwa.

  2. Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.

  3. Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.

  4. Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.