Skip to content

Elim

4 verses

29.3000, 32.9800 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Elim

  1. Kisha wakafika Elimu, mahali palipokuwa na chemchemi kumi na mbili, na miti sabini ya mitende, wakapiga kambi huko karibu na maji.

  2. Jumuiya yote ya Kiisraeli ikaondoka Elimu, wakafika Jangwa la Sini, lililokuwa kati ya Elimu na Sinai, siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili baada ya kutoka Misri.

  3. Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.

  4. Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.