Skip to content

Beth-peor

4 verses

31.6500, 35.7100 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Beth-peor

  1. Kwa hiyo tulikaa kwenye bonde karibu na Beth-Peori.

  2. nao walikuwa katika bonde karibu na Beth-Peori mashariki ya Yordani, katika nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala Heshboni, naye alishindwa na Mose na Waisraeli walipokuja toka Misri.

  3. Mungu akamzika huko Moabu, katika bonde mkabala na Beth-Peori, lakini hakuna ajuaye kaburi lake lilipo mpaka leo.

  4. Beth-Peori, materemko ya Pisga na Beth-Yeshimothi: