Skip to content

Aijalon

9 verses · 2 known names

Anajulikana pia kama: Ajalon

31.8400, 35.0200 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Aijalon

  1. Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,

  2. Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

  3. Waamori pia wakaendelea kukaa katika Mlima Heresi, katika Aiyaloni na Shaalbimu, lakini mkono wa nyumba ya Yosefu ukawalemea, nao wakashindwa hata wakalazimika kuingia katika kazi ya kulazimishwa.

  4. Kisha Eloni akafa, akazikwa katika Aiyaloni, katika nchi ya Zabuloni.

  5. Siku ile baada ya Waisraeli kuwaua Wafilisti kutoka Mikmashi mpaka Aiyaloni, walikuwa wamechoka.

  6. Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.

  7. na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.

  8. Sora, Aiyaloni na Hebroni. Hii ndiyo iliyokuwa miji iliyojengewa ngome katika Yuda na Benyamini.

  9. Pia Wafilisti walikuwa wameshambulia miji iliyokuwa chini ya vilima na katika miji ya Negebu ya Yuda. Nao wakawa wametwaa Beth-Shemeshi, Aiyaloni, Gederothi, Soko pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake, Gimzo pia pamoja na vijiji vyake na kuishi humo.