Rukia maudhui
Warumi 4:23-25

Matumizi Yake kwa Waamini Wote

Warumi 4:23-25
23
Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,
24
bali kwa ajili yetu sisi pia ambao Mungu atatupa haki, sisi tunaomwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.
25
Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye alifufuliwa kutoka mauti ili tuhesabiwe haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options