Rukia maudhui
Ufunuo 8:1-2

Muhuri wa Saba na Kimya Mbinguni

Ufunuo 8:1-2
1
Mwana-Kondoo alipoivunja ile lakiri ya saba, pakawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.
2
Nami nikawaona wale malaika saba wanaosimama mbele za Mungu, nao wakapewa tarumbeta saba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options