Rukia maudhui
Zaburi 83:3-5

Njama Dhidi ya Watu wa Mungu

Zaburi 83:3-5
3
Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako, wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.
4
Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa, ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”
5
Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja, wanafanya muungano dhidi yako,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options