Rukia maudhui
Zaburi 82:1-2

Mungu Anahukumu Baraza la Mungu

Zaburi 82:1-2
1
Zaburi ya Asafu. Mungu anaongoza kusanyiko kuu, anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:
2
“Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki na kuonyesha upendeleo kwa waovu?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options