Skip to content
Zaburi 82:3-5

Wito wa Haki Duniani

Zaburi 82:3-5
3
Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na walioonewa.
4
Mwokoeni mnyonge na mhitaji, wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.
5
“Hawajui lolote, hawaelewi lolote. Wanatembea gizani; misingi yote ya dunia imetikisika.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options