Skip to content
Zaburi 82:1-2

Mungu Anahukumu Baraza la Mungu

Zaburi 82:1-2
1
Zaburi ya Asafu. Mungu anaongoza kusanyiko kuu, anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:
2
“Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki na kuonyesha upendeleo kwa waovu?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options