Rukia maudhui
Zaburi 81:8-10

Amri ya Mungu: Sikilizeni na Mti

Zaburi 81:8-10
8
“Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya: laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!
9
Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu; msimsujudie mungu wa kigeni.
10
Mimi ni Bwana Mungu wako, niliyekutoa nchi ya Misri. Panua sana kinywa chako nami nitakijaza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options