Skip to content
Zaburi 81:6-7

Zaburi 81:6-7

6
Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao; mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.
7
Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa, nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo; nilikujaribu katika maji ya Meriba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options