Rukia maudhui
Zaburi 8:1-2

Jina na Utukufu Bora wa Mungu

Zaburi 8:1-2
1
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, Bwana wetu, tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote! Umeuweka utukufu wako juu ya mbingu.
2
Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao umeamuru sifa, kwa sababu ya watesi wako, kumnyamazisha adui na mlipiza kisasi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options