Zaburi 7:17
Inaonyesha mstari 17 pamoja na muktadha unaouzunguka.
14
Yeye aliye na mimba ya uovu na achukuaye mimba ya ghasia huzaa uongo.
15
Yeye achimbaye shimo na kulifukua hutumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.
16
Ghasia azianzishazo humrudia mwenyewe, ukatili wake humrudia kichwani.
17
Nitamshukuru Bwana kwa ajili ya haki yake, na nitaliimbia sifa jina la Bwana Aliye Juu Sana.
Settings