Skip to content
Zaburi 7:11-16

Zaburi 7:11-16

11
Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu aghadhibikaye kila siku.
12
Kama hakutuhurumia, atanoa upanga wake, ataupinda na kuufunga uzi upinde wake.
13
Ameandaa silaha zake kali, ameweka tayari mishale yake ya moto.
14
Yeye aliye na mimba ya uovu na achukuaye mimba ya ghasia huzaa uongo.
15
Yeye achimbaye shimo na kulifukua hutumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.
16
Ghasia azianzishazo humrudia mwenyewe, ukatili wake humrudia kichwani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options