Rukia maudhui
Zaburi 70:2-3

Sala Dhidi ya Wapinzani

Zaburi 70:2-3
2
Wale wanaotafuta kuuondoa uhai wangu, waaibishwe na kufadhaishwa; wote wanaotamani kuangamizwa kwangu, warudishwe nyuma kwa aibu.
3
Wale waniambiao, “Aha! Aha!” warudi nyuma kwa sababu ya aibu yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options