1
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo. Mungu aturehemu na kutubariki, na kutuangazia nuru za uso wake,
2
ili njia zako zijulikane duniani, wokovu wako katikati ya mataifa yote.
3
Ee Mungu, mataifa na wakusifu, mataifa yote na wakusifu.