Rukia maudhui
Zaburi 66:13-15

Kutimiza Nadhiri za Shukrani

Zaburi 66:13-15
13
Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa na kukutimizia nadhiri zangu:
14
nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi na nilizotamka kwa kinywa changu nilipokuwa katika shida.
15
Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono na sadaka za kondoo dume, nitakutolea mafahali na mbuzi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options