Rukia maudhui
Zaburi 64:1-2

Zaburi 64:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu, uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.
2
Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu, kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options