Skip to content
Zaburi 63:9-11

Zaburi 63:9-11

9
Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa, watakwenda chini kwenye vilindi vya dunia.
10
Watatolewa wafe kwa upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
11
Bali mfalme atafurahi katika Mungu, wale wote waapao kwa jina la Mungu watamsifu, bali vinywa vya waongo vitanyamazishwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options