Skip to content
Zaburi 64:7-10

Hukumu ya Ghafla ya Mungu na Kutetewa kwa Mwenye Haki

Zaburi 64:7-10
7
Bali Mungu atawapiga kwa mishale, nao ghafula wataangushwa.
8
Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao na kuwaleta kwenye maangamizi; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao kwa dharau.
9
Wanadamu wote wataogopa, watatangaza kazi za Mungu na kutafakari yale aliyoyatenda.
10
Wenye haki na wafurahi katika Bwana, na wakimbilie kwake; wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options