Zaburi 63:3-5
3
Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakuadhimisha.
4
Nitakusifu siku zote za maisha yangu, na kwa jina lako nitainua mikono yangu.
5
Nafsi yangu itatoshelezwa kama kwa wingi wa vyakula; kwa midomo iimbayo kinywa changu kitakusifu wewe.