Rukia maudhui
Zaburi 53:4-5

Mungu Awahukumu Wawakandamizaji

Zaburi 53:4-5
4
Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza: wale ambao huwala watu wangu kama watu walavyo mkate, hao ambao hawamwiti Mungu?
5
Hapo waliingiwa na hofu kuu, ambapo hapakuwa cha kutetemesha. Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia; uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options