Rukia maudhui
Zaburi 51:16-17

Sadaka Inayokubalika

Zaburi 51:16-17
16
Wewe hupendezwi na dhabihu, au ningaliileta, hufurahii sadaka za kuteketezwa.
17
Bali dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika, moyo uliovunjika wenye toba, Ee Mungu, hutaudharau.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options