Skip to content
Zaburi 51:13-15

Zaburi 51:13-15

13
Ndipo nitakapowafundisha wakosaji njia zako, na wenye dhambi watakugeukia wewe.
14
Ee Mungu, Mungu uniokoaye, niokoe na hatia ya kumwaga damu, nao ulimi wangu utaimba juu ya haki yako.
15
Ee Bwana, fungua midomo yangu, na kinywa changu kitatangaza sifa zako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options