Skip to content
Zaburi 51:18-19

Zaburi 51:18-19

18
Kwa wema wa radhi yako uifanye Sayuni istawi, ukazijenge upya kuta za Yerusalemu.
19
Hapo ndipo kutakapokuwa na dhabihu za haki, sadaka nzima za kuteketezwa za kukupendeza sana, pia mafahali watatolewa madhabahuni mwako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options