Rukia maudhui
Zaburi 5:7-8

Kumkaribia Mungu kwa haki

Zaburi 5:7-8
7
Lakini mimi, kwa rehema zako kuu, nitakuja katika nyumba yako, kwa unyenyekevu, nitasujudu kuelekea Hekalu lako takatifu.
8
Niongoze katika haki yako, Ee Bwana, kwa sababu ya adui zangu, nyoosha njia yako mbele yangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options