Rukia maudhui
Zaburi 4:6-7

Furaha ya uso wa Mungu

Zaburi 4:6-7
6
Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye kutuonyesha jema lolote?” Ee Bwana, tuangazie nuru ya uso wako.
7
Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options