Skip to content
Zaburi 4:3-5

Onyo kwa wasiomcha Mungu

Zaburi 4:3-5
3
Fahamuni hakika kwamba Bwana amewatenga wale wamchao kwa ajili yake; Bwana atanisikia nimwitapo.
4
Katika hasira yako, usitende dhambi. Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya mkiichunguza mioyo yenu.
5
Toeni dhabihu zilizo haki; mtegemeeni Bwana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options