Skip to content
Zaburi 4:3-5

Zaburi 4:3-5

3
Fahamuni hakika kwamba Bwana amewatenga wale wamchao kwa ajili yake; Bwana atanisikia nimwitapo.
4
Katika hasira yako, usitende dhambi. Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya mkiichunguza mioyo yenu.
5
Toeni dhabihu zilizo haki; mtegemeeni Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options