Skip to content
Zaburi 4:1-2

Ombi la kutetewa kwa haki

Zaburi 4:1-2
1
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi. Nijibu nikuitapo, Ee Mungu wangu mwenye haki! Nipumzishe katika shida zangu; nirehemu, usikie ombi langu.
2
Enyi watu, mtabadilisha utukufu wangu kuwa aibu mpaka lini? Mtapenda udanganyifu na kufuata miungu ya uongo mpaka lini?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options