- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Mzigo wa Dhambi na Ugonjwa
Zaburi 38:1-8
1
Zaburi ya Daudi. Maombi. Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako, wala kuniadhibu katika ghadhabu yako.
2
Kwa kuwa mishale yako imenichoma, na mkono wako umenishukia.
3
Hakuna afya mwilini mwangu kwa sababu ya ghadhabu yako, mifupa yangu haina uzima kwa sababu ya dhambi zangu.
4
Maovu yangu yamenifunika kama mzigo usiochukulika.
5
Majeraha yangu yameoza na yananuka, kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.
6
Nimeinamishwa chini na kushushwa sana, mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.
7
Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo, hakuna afya mwilini mwangu.
8
Nimedhoofika na kupondwa kabisa, nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.
Settings