Rukia maudhui
Zaburi 32:3-5

Maumivu na Faraja ya Kuungama

Zaburi 32:3-5
3
Niliponyamaza, mifupa yangu ilichakaa kwa kulia kwa maumivu makali mchana kutwa.
4
Usiku na mchana mkono wako ulinilemea, nguvu zangu zilinyonywa kama vile katika joto la kiangazi.
5
Kisha nilikujulisha dhambi yangu wala sikuficha uovu wangu. Nilisema, “Nitaungama makosa yangu kwa Bwana.” Ndipo uliponisamehe hatia ya dhambi yangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options