Skip to content
Zaburi 32:6-7

Zaburi 32:6-7

6
Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe wakati unapopatikana, hakika maji makuu yatakapofurika hayatamfikia yeye.
7
Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha, utaniepusha na taabu na kunizunguka kwa nyimbo za wokovu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options