Rukia maudhui
Zaburi 26:6-8

Kujitoa kwa Ibada Safi

Zaburi 26:6-8
6
Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia, naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
7
nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa, huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
8
Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi, mahali ambapo utukufu wako hukaa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options