Skip to content
Zaburi 26:9-12

Zaburi 26:9-12

9
Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi, wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,
10
ambao mikononi mwao kuna mipango miovu, ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.
11
Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama; nikomboe na unihurumie.
12
Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare; katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options