Skip to content
Zaburi 27:1-3

Ujasiri kwa Mungu, Nuru na Wokovu

Zaburi 27:1-3
1
Zaburi ya Daudi. Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu, nimwogope nani? Bwana ni ngome ya uzima wangu, nimhofu nani?
2
Waovu watakaposogea dhidi yangu ili wanile nyama yangu, adui zangu na watesi wangu watakaponishambulia, watajikwaa na kuanguka.
3
Hata jeshi linizunguke pande zote, moyo wangu hautaogopa; hata vita vitokee dhidi yangu, hata hapo nitakuwa na ujasiri.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options