Zaburi 17:9-12
9
kutokana na waovu wanaonishambulia, kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.
10
Huifunga mioyo yao iliyo migumu, vinywa vyao hunena kwa majivuno.
11
Wamenifuatia nyayo zangu, sasa wamenizingira, wakiwa macho, waniangushe chini.
12
Wamefanana na simba mwenye njaa awindaye, kama simba mkubwa anyemeleaye mafichoni.
Settings