Skip to content
Zaburi 17:6-9

Ujasiri katika Ulinzi wa Mungu

Zaburi 17:6-9
6
Ee Mungu, ninakuita, kwa kuwa utanijibu, nitegee sikio lako na usikie ombi langu.
7
Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu, wewe uokoaye kwa mkono wako wa kuume wale wanaokukimbilia kutokana na adui zao.
8
Nilinde kama mboni ya jicho lako, unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako
9
kutokana na waovu wanaonishambulia, kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options